@JustinaMtoma-og4eo

Wimbo mtamu sana ukiangalia lazima ibadilike, kama inaangalia ngoma hii 2024 tupewe like zetu❤❤❤

@davidshahrukh6

ME WAKWANZA KURUDIA KUANGALIA 2024, NIPE LIKE ZANG

@AmirFadhil-x1t

Mwanangu upo vizur hizi nyimbo zinatufariji sisi ambao mambo ayajakaa sawa mpaka tunakimbiwa na wapenzi wetu tunao wapenda upo vizurii kaka

@EverlyneMokami

Nani anayekuita eti wewe ni msanii wa mikoa ❤wambie unapendwa Hadi huku Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🎉love you more and more🎉

@DIVINAH553

Kama bado unawatch hii ngoma piga like tukisonga❤❤❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪

@dianaachieng2664

Jamani 🙆 ni Mimi peke yangu naipenda hi song🤷nairudia kila time 👌💯🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥woow.....nice chia's 🍾🍷🍷 beb 💃💃

@scoobybrosco5359

Wale wa 2025,tumeiangalia hii video tujuane kwa like nyingi....MUTU YA JASHO

@ivonatumsime2566

Nyimbo ambazo hazichuji.., naipenda sana hii nyimbo kila siku naona kama mpya.... Big up sana natamani mtoe kibao kingine kikali zaidi ya hiki

@tomdaktarinakiokonivitukod5512

2024 still a hit song

@PeleahikaJuma

Wimbo mnzuri sana nimeupenda sana❤❤❤

@thadeusmassoy7891

Aliyemloga huyu kijana Mungu anamuona 😄 Kampoteza kabisa kwenye game ya mziki

@trippleleizer2361

Utamu Wa ngoma hii uko in another level👌🤗🇰🇪best collaboration.. 2023 still a hit💣

@JordanJordancheyo16

2024 Bado naaangalia wimbo huu nipeni like zangu

@arafaally2895

Tunaoangalia mwezi wa 9  2024 gonga like

@kassimngumamsomali8924

nimlimjua Nandy kupitia hii ngoma cogratu Bright nakutambua mzee baba

@NetoAmigoJoaquim

kma upo unangalia 2025 gonga like 💯💯💯🇲🇿👍👍🇲🇿🇲🇿

@philisterzawadicharo4495

Kama umependa hii goma gonga like ❤❤❤❤

@AdelaDaúdeTomé

Alie kumbuka iyi 2025 tu like apa❤

@veronicaibrahim4878

Daa Wana saut nzur nimempenda bure kwa fani take mungu azid wape mafannikio kwenye mzk wao

@salumramadhan5467

🎉🎉🎉enzii izooo ilikua nomaaa🎉🎉🎉