ME WAKWANZA KURUDIA KUANGALIA 2024, NIPE LIKE ZANG
Mwanangu upo vizur hizi nyimbo zinatufariji sisi ambao mambo ayajakaa sawa mpaka tunakimbiwa na wapenzi wetu tunao wapenda upo vizurii kaka
Nani anayekuita eti wewe ni msanii wa mikoa ❤wambie unapendwa Hadi huku Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🎉love you more and more🎉
Kama bado unawatch hii ngoma piga like tukisonga❤❤❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Jamani 🙆 ni Mimi peke yangu naipenda hi song🤷nairudia kila time 👌💯🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥woow.....nice chia's 🍾🍷🍷 beb 💃💃
Wale wa 2025,tumeiangalia hii video tujuane kwa like nyingi....MUTU YA JASHO
Nyimbo ambazo hazichuji.., naipenda sana hii nyimbo kila siku naona kama mpya.... Big up sana natamani mtoe kibao kingine kikali zaidi ya hiki
2024 still a hit song
Wimbo mnzuri sana nimeupenda sana❤❤❤
Aliyemloga huyu kijana Mungu anamuona 😄 Kampoteza kabisa kwenye game ya mziki
Utamu Wa ngoma hii uko in another level👌🤗🇰🇪best collaboration.. 2023 still a hit💣
2024 Bado naaangalia wimbo huu nipeni like zangu
Tunaoangalia mwezi wa 9 2024 gonga like
nimlimjua Nandy kupitia hii ngoma cogratu Bright nakutambua mzee baba
kma upo unangalia 2025 gonga like 💯💯💯🇲🇿👍👍🇲🇿🇲🇿
Kama umependa hii goma gonga like ❤❤❤❤
Alie kumbuka iyi 2025 tu like apa❤
Daa Wana saut nzur nimempenda bure kwa fani take mungu azid wape mafannikio kwenye mzk wao
🎉🎉🎉enzii izooo ilikua nomaaa🎉🎉🎉
@JustinaMtoma-og4eo